Pakua Kujifunza Kupitia Yaliyofanyika

Njia Bora ya Kufundisha Ana kwa Ana

Ili kuendesha mafunzo katika madarasa yako kwa urahisi, ni muhimu kufuata Njia bora sahili ili kuhakikisha wanafunzi wako wana wakati mzuri katika masomo yao. Orodha ifuatayo itakusaidia kujiandaa kwa ajili ya somo na ujihisi jasiri zaidi.

Matayarisho

Lugha ya Mwili

Kuwasilisha

Eneo la Mafunzo

Mambo ya Kufanyo na Kutofanya Katika Eneo la Wasilisho

Miongozo ya Kufanya Mawsilisho

Njia Bora ya Kufundisha kwa Njia ya Mtandao

Kuwashirikisha wanafunzi katika masomo ya mtandaoni kunahitaji ubunifu mkubwa, uchangamfu na kuandaa masomo kwa njia mahususi. Unafahamu maudhui yako na jinsi ya kuyafundisha kwa wanafunzi. Kwa matayarisho na mawasilisho mazuri kupitia somo la mtandaoni, unaweza kuwashirikisha kwa njia nzuri na kupata matokeo mazuri. Mapendekezo yaliyoko hapa chini yatakusaidia unapohamia katika masomo ya mtandaoni au yale yanayochanganya masomo ya mtandaoni na ya ana kwa ana, na kukusaidia kukuza ujuzi, ukakamavu, na uwezo wako wa kufundisha mtandaoni kwa njia nzuri. Ikiwa wewe ni mgeni kwa masomo ya mtandaoni au una tajriba kama mkufunzi wa mtandaoni, Mazoea bora yafuatayo yanaweza kukusaidia katika safari yako ya kuwa mkufunzi mzuri, bila kujali pahali unapofundisha.

Kupanga Darasa Lako

Semina za Mtandaoni

Mafundisho Yaliyorekodiwa Kabla

Facebook Live

Kutumia Zana Zako

Kuboresha Masomo Yako

Kutengenez Mandhari Kamili ya Darasani

__

Bodi ya Kitaifa ya Viwango vya Mafundisho ya Kitaaluma ilichangia mwongozo huu. Ili kujifunza zaidi kuhusu shirika hili, tafadhali tembelea: nbpts.org.

National Board for Professional Teaching Standards

To help personalize content, tailor and measure ads and provide a safer experience, we use cookies. By clicking or navigating the site, you agree to allow our collection of information on and off Facebook through cookies. Learn more, including about available controls: Cookie Policy