Ustawi wa Kidijitali

Muhtasari

Masomo na mazoezi katika sehemu hii yanawasaidia wanafunzi wachunguze utambulisho wao, washirikiane (watu binafsi na pia makundi makubwa) mtandaoni kwa njia za huruma, kimaadili na chanya, na kukabiliana na hatari zinazoweza kuletwa na ulimwengu wa kidijitali ili kulinda afya zao za mwili na kiakili.

To help personalize content, tailor and measure ads and provide a safer experience, we use cookies. By clicking or navigating the site, you agree to allow our collection of information on and off Facebook through cookies. Learn more, including about available controls: Cookie Policy